Jana Stars ilipata ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya Chad katika
harakati za kuwania kufuzu kucheza michuano ya mataifa ya Afrika mwaka
2017.
Bao pekee lililoipa Stars ponti tatu lilifungwa na nahodha mpya wa kikosi hicho Mbwana Samatta ambaye alikuwa anacheza kwa mara ya kwanza kama nahodha Stars tangu kuteuliwa kwake.
Stars itacheza mchezo wa marudiano dhidi ya Chad March 24 siku ya Jumatatu ya Pasaka kwenye uwanja wa taifa.
BY: MOHAMMED KITALAMBO
Bao pekee lililoipa Stars ponti tatu lilifungwa na nahodha mpya wa kikosi hicho Mbwana Samatta ambaye alikuwa anacheza kwa mara ya kwanza kama nahodha Stars tangu kuteuliwa kwake.
Stars itacheza mchezo wa marudiano dhidi ya Chad March 24 siku ya Jumatatu ya Pasaka kwenye uwanja wa taifa.
BY: MOHAMMED KITALAMBO
SHUGHULI ALIYOIFANYA SAMATTA DHIDI YA CHAD
Reviewed by Unknown
on
1:46 PM
Rating:
Reviewed by Unknown
on
1:46 PM
Rating:

No comments: