Ruby na Aslay wa Yamoto Band ni couple mpya mjini

Harmonize na Jacqueline Wolper tupisheni kidogo, sasa ni zamu ya Ruby na Aslay wa Yamoto Band.
image
Imekuja kama surprise kwa wengi na kama wasemavyo waswahili ‘penzi ni kikohozi kulificha huliwezi’ ndege hao wawili mahabuba wamejimwayamwaya hadharani kuoneshana jinsi wanavyopendana na mashallah, wamedhamiria kweli!
Ni wikiendi iliyomalizika ndipo uwepo wa couple hiyo ulifahamika lakini tofauti na nyingi ambazo huanza kwa tetesi, wawili hao hawakutaka kungoja bali wao wenyewe kuufunulia ulimwengu hisia za mioyo yao.
Haweshi kupostiana na kumwagiana jumbe tamu tamu!
Tazama post zao hapo chini.

image

image

image

image

image
image
Ruby na Aslay wa Yamoto Band ni couple mpya mjini Ruby na Aslay wa Yamoto Band ni couple mpya mjini Reviewed by Unknown on 3:08 AM Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.