Julius Mtatiro: Kwa Uwazi Kabisa Nasema Hii ni AIBU KUU Kwa Taifa la Tanzania

Tunatangaziwa kwa mbwembwe kuwa Taifa letu linaenda kujifunza Teknolojia kutoka Rwanda. So shameful! Taifa ambalo limeshiriki kupigania uhuru wa nchi karibia zote za Afrika. Taifa lenye mamia ya MAPROFESA na wataalamu wa Teknolojia za kila namna. Kwa hiyo hawa MAPROFESA wetu tunaowalipa mamilioni ya mishahara kwa mwezi, tena waliosomea teknolojia mbalimbali Uchina, Urusi, Marekani, Ujerumani, Uingereza na kwingineko (kwenye vyuo vinavyoheshimika duniani) ni Maprofesa UCHWARA! Tatizo la nchi hii ni kubwa hadi mkuu wetu hajua tutaanzia wapi. Kwa uwazi kabisa nasema hii ni AIBU KUU!
Mtatiro J
Julius Mtatiro: Kwa Uwazi Kabisa Nasema Hii ni AIBU KUU Kwa Taifa la Tanzania  Julius Mtatiro: Kwa Uwazi Kabisa Nasema Hii ni AIBU KUU Kwa Taifa la Tanzania Reviewed by Mzansi on 5:15 AM Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.